Wednesday, May 5, 2010

Eti Bi Kizee!


Inasemekena kuwa kuna 'Bi Kizee' (Pichani) mmoja mwenye umri wa miaka 70 ametembea kwa miguu umbali wa kilomita 35 kupinga hotuba ya Rais Jakaya Kikwete. Hivi kweli kwa maisha ya Tanzania mzee wa miaka 70 anaweza kutembea km 35. Hebu angalia picha hii kulia kwako huyu kweli tunaweza kumwita Bi Kizee wa miaka 70? Waandishi tuwe makini. Habari hii imetolewa na Gazeti la Mwananchi la tarehe 5/5/2010

No comments: