Thursday, May 13, 2010

Ndizi pacha wanasayansi tuelezeni


Leo asubuhi nimesoma kutoka kwenye blog ya michuzi kuwa huko Kilema Moshi kumeonekana tukio lisilo la kawaida kwa mgomba kutoa mikungu miwili ya ndizi kwa wakati mmoja. Wanasayansi wa kilimo mliobobea kwenye uzalishaji wa mazao tuelezeni sababu ya kutokea hivyo.

No comments: