Saturday, May 22, 2010

Ah hupati kazi Bongo


Hapa si Marekani bwana. Tanzania tuna vitu ambavyo tunavithamini na kutufanya tuonekane Watanzania. Sasa ktuvalia hivi halafu unajiona msomi na kuingia navyo ofisini ndo nini? Tuondokee huko hapa hupati kazi. Stori imeandikwa vizuri kwenye gazeti la Mwananchi la tarehe 22/05/2010 siku ya Jumamosi. Mwandishi ni Henry Mdimu - Zee la Nyeti. Litafute na uinyake stori nzima. Picha kwa hisani ya gazeti la Mwananchi.

No comments: