Saturday, May 22, 2010

Mchekeshaji Majuto


Mmoja wa wachekeshaji mahiri wa Tanzania- Mzee Majuto. Mchekeshaji huyu ana kipaji cha hali ya juu cha kuweza kukuchekesha na kukuweka sawa hata kama ulikuwa huko katika hali nzuri kimawazo.

No comments: