Thursday, May 27, 2010

Kuharibika kwa magari ya Rais kuna sababu


Si jambo la kawaida gari la Rais kuharibikaharibika. Hii si dalili nzuri. Inawezekana kuwa ni bahati mbaya au inawezekena kuwa kuna uzembe umefanyika mahali fulani. Tuwe makini tunakwenda siko.

No comments: