Saturday, May 22, 2010

Mjukuu kumbaka bibi yake na kumuua -Hiki ni kiama

Si kuamini macho yangu kukuta habari kwenye gazeti la Mwananchi la leo hii 22/5/2010. Tukio hili limetokea mkoani Shinyanga kwa watani zangu. Watani kuna nini tena huko? Mauaji ya Albinos ni nyinyi na hili tena ni nyinyi vipi? Itakuwaje bwana mjukuu wa miaka 27 ambake kikongwe cha miaka 70? Kaeni muongelee hili. Mnakokwenda siko watani zangu.

No comments: