Thursday, May 27, 2010

Mkapa na misaada


"Tatizo hili lililopigiwa kelele, ikaja hoja nyingine kuwa la muhimu zaidi si misaada bali fursa za biashara. Ikasahauliwa kuwa fursa za biashara peke yake hazina maana iwapo hakuna uwezo wa kuzalisha bidhaa bora na za bei nafuu. Na uwezo huo unahitaji misaada zaidi kuujenga."

Maneno hayo yalitamkwa na Rais wa Awamu ya Tatu, Benjamin Mkapa, Februari 28,2002 wakati akihutubia taifa. Mkapa alikuwa akizungumzia haja ya kuwepo kwa mfumo mpya wa biashara duniani.

No comments: