Thursday, May 6, 2010

Kikwete aliulizwa swali kuhusu Demokrasia


Moja kati ya maswali mengi yaliyoulizwa katika mkutano wa kimataifa kuhusu masuala ya uchumi ulioanza jana jijini Dar Es Salaam na utakaodumu kwa muda wa siku tatu ni kuhusu Demorasia kama nyenzo inayofaa katika kuongoza nchi. Kikwete alilijibu swali hilo kwa werevu mkubwa. Soma magazeti.

No comments: