Wednesday, May 19, 2010

Watanzania na ndoa za gharama


Hapa Tanzania kuna familia zenye uwezo zinazoweza kufanya sherehe za harusi hadi kufikia sh. 200,000,000/=! Wakati mwingine bila kuchangisha hata senti tano. Kila kitu familia inagharamia na kupanga ni kina nani waalikwe. Hapa ndipo tulipofikia. Wakati hayo yanatokea kuna shule hazina madawati, kuna familia zinashindwa kupata hata mlo wa mmoja kwa siku huko wengi tukishambuliwa na malaria kwa vile tu tumeshindwa kumdhibiti mdudu MBU! Wengi wanaofanya haya ni wale maarufu nchini kama vile wanamichezo, wasanii, viongozi wa serikali na wafanyabiashara wakubwa.

No comments: