Wednesday, May 19, 2010

Usiruhusu watoto wako kuangalia picha kama hizi


Si vibaya kwa watoto kuangalia luninga (TV). Kuna vipindi vizuri vinavyofaa kuangaliwa na watoto. Vipindi hivyo vinafundisha na kuburudisha pia, lakini baadhi ya vipindi havifai kuangaliwa na watoto wa umri fulani. Kwa mfano picha za mapenzi, picha za kutisha. Inashangaza kukuta baba, mama, watoto na majirani wameketi sebuleni wakiangalia picha za mapenzi!

No comments: