Friday, May 7, 2010

Tubadilike Kilimo ni Biashara


"Treat farming as big business" kichwa hiki cha habari kimepamba ukurasa wa kwanza wa gazeti la Daily News (Tanzania) la tarehe 7/5/2010. Ndiyo, nchi nyingi hazijawekeza katika Kilimo. Tunafikiri kilimo kinaweza kufanyika hata bila teknolojia na kwamba kila mmoja ni mkulima. Hata wataalamu wake wanadharaulika (Bwanashamba). Bajeti inayotengwa kwa kilimo ni kidogo sana. Miundo mbinu kwa ajili ya uzalishaji wa kilimo haipo. Ndiyo maana inasisitizwa kukifanya KILIMO kiwe cha Biashara mwisho wa siku lazima KILIPE!

No comments: