Saturday, May 22, 2010

Aunt Ezekiel - Mcheza filamu wa Bongo


Huyu naye ni mcheza filamu wa Bongo. Ni msichana mrembo kwa kweli lakini ameingia kwenye sanaa hii ya maigizo. Ukiona filamu zake kwa kweli utakubali kuwa Mungu amempa kipaji hicho ili aweze kuendesha maisha yake. Aunt ni mmoja wa washiriki katika filamu inayoitwa signature ambayo itaanza kuonekana madukani hivi karibuni. Mtunzi ni yeye mwenyewe JB a.k.a Amitha Bachan. Bongo bwana we acha tu!

No comments: