Friday, March 23, 2012

Bwawa la Maguga-Swaziland


Waswazi wanajivunia bwawa la Maguga lilojengwa katika mto wa Komati unaounganisha Swaziland (40%) na Afrika ya kusini (60%). Bwawa hili linamanufaa kadhaa kwa Waswazi.
1)Hutoa umeme 19.5MW
2)Chanzo kizuri cha upatikanaji wa kitoweo-Samaki
3)Maji kwa matumizi ya nyumbani na viwandani
4)Umwagiliaji wa mashamba
5)Kivutio cha utalii.

No comments: