Saturday, March 24, 2012

Nyama choma Mantenga Cultural Village

Banzi wa Moro anageuza nyama iive haraka.Kulia ni Msajili wa Mananga Centre of Management Development Aunt Joyce.
Shosi naye ilibidi ageuze nyama na kuchagua kipande anachopenda! Katikati aliyevaa fulana ya punda milia ni Chris Sibandze.
Tulijiandaa na nyama zetu,ugali,juice na hata mvinyo kwa aliyependa!Kushoto mwenye shirt ya polo kijani ni Mhadhili wa IT chuoniMananga Bw.Simbarashe akisubiri mambo yawe sawa.

No comments: