Sunday, March 25, 2012

Kombe la Shirikisho la Afrika-Simba yaitungua EL Satif ya Algeria 2-0

Picha kwa hisani ya Michuzi blog
Nikiwa hapa Mananga, Swaziland kwa kumpitia mtandao nimepata kufuatilia pambano la mchezo wa Kombe la Shirikisho la Afrika kati ya Simba Sports Club ya Dar Es Salaam, Tanzania na El Satif ya Algeria. Matokeo Simba 2 El Satif 0. Kwa mujibu wa Coulds FM radio magoli hayo yamefungwa na Emmanuel Okwi na Felix Sunzu.Clouds mko juu sana wanangu hongereni!

No comments: