Saturday, March 24, 2012

Maguga Dam kivutio cha watalii

Serikali ya Swaziland inaendelea kuendeleza Mradi wa Bwawa la Maguga kuwa kivutio cha watalii. Tayari mwekezaji amefungua mgahawa wa kisasa kando ya bwawa hilo. Banzi wa Moro alipotembelea Maguga alikuta pia maandalizi ya kujenga sehemu ya kucheza ngoma za asili.Bwawa la Maguga
Kutoka kushoto Elias Shosi, Banzi wa Moro na Collins Kamalizeni mhadhiri wa Mananga Centre
Mgahawa
Ndani ya mgahawa

No comments: