Thursday, March 22, 2012

Procrastination

Nothing is so fatiguing as the general hanging on of uncompleted task- William James.

Kwa kweli tabia hii ya kutokamilisha kazi kwa wakati uliowekwa ni kilema kwa watu wengi hata Banzi wa Moro anayo ndiyo hiyo inayoitwa - PROCRASTINATION. Unapewa kazi unasema nitafanya kesho, kesho, kesho hatimaye inachelewa na matokeo yake ni mabaya si kazini hata nyumbani kwako kama umeamua kufanya kitu anza sasa muda haukungoji. Utafiti uliokwishafanyika unaonyesha kuwa 20% ya Wamerekani wanatabia hiisisi je? Pengine 80!

No comments: