Tuesday, March 27, 2012

Hata kwetu vipo


Hivi karibuni nimekuwa nikifuatilia post nyingi za Mjengwa blog.Kuna post alizoonyesha jinsi alivyotembelea Ruaha National Park ni 'experience nzuri.' Hii inawezekana kabisa ni kufanya uamuzi tu. Inabidi kutembelea vivutio vyetu vya asili, lakini nafikiri kwa wengi mtazamo wetu ni uleule wa zamani.Hata walio jirani huenda hawajui kinachoendelea kwenye mbuga zetu za Taifa.(Picha kwa hisani ya Mjengwa blogKudzu wa Ruaha National Park
Watoto wa Maggid wakiwa kwenye Park ya Ruaha
Twiga wetu
Pundamilia wanapendeza

No comments: