Saturday, March 24, 2012

Mfalme wa Kariakoo-Matombo?


Hapana. Hili ni vazi la Taifa la Kiswazi.Mfalme huvaa hivi, watemi(chiefs) huvaa hivi ni vazi lenye hadhi. Waswazi hulipenda vazi lao hawaoni aibu ndiyo utamaduni wao. Halikuja kwa kuundiwa kamati!

No comments: