Sunday, March 25, 2012

Support ya viongozi je?


Unapokuwa na sapoti ya viongozi kama hawa kwani nini usishinde? Kushoto mwenye suti nyeupe Mh.Samwel Sitta Waziri wa Afrika ya Mashariki,katikati mwenye suti ya rangi ya udongo Mh.Frederick Sumaye Waziri Mkuu Mstaafu wa awamu ya tatu,said El Maamry mwenye cap,Mbunge kijana Zitto Kabwe mwenye jezi nyekundu alieinua vidole wakitoa company ya nguvu kwa Mwenyekiti wa Simba Mh.Aden Rage aliyevaa shati jekundu huku akitabasamu. Waliokaa niliyeweza kumtambua mara moja ni Kassim Dewji mmoja wa kikundi cha Friends of Simba. Yuko wapi Mh. Tibaijuka? Simba hatujifichi.Hapa masuala ya siasa pembeni Simba imewaunganisha. Ningekuwepo ningekuwa karibu ya Dewji!

No comments: