Tuesday, March 27, 2012

Maggid - Menu imeficha perege!


Kama kuna vitu ambavyo Maggid huvipenda ni chakula kilichoandaliwa vizuri na hasa vile vya kulumagia (Tabia ya Wazaramo hiyo). Anapotoka Iringa kwenda Dar hakosi kupitia kwa Bi.Mkora wa Msamvu na kupata msosi mvuri aupendao. Hivi majuzi aliandaliwa msosi huu ambao umekosa samaki aina ya perege!(Picha kwa hisani ya Mjengwa Blog)

No comments: