Saturday, March 24, 2012

Sijasahau kilimo

Hapa nipo kwenye mradi unaojilikana kama Swaziland Water and Agricultural Development Enterprise (SWADE)Aina hii ya papai ilinivutia sana. Majani yake ni mapana na matunda yana ukubwa wa wastani lakini kila mti huzaa matunda mengi.Bei ya mche mmoja wa mpapai ni Emalangeni30 sawa na shilingi za kitanzania 6,000/=

Na hapa mimi na Mtanzania mwenzangu Bw. Elias Shosi tukiangalia vitalu vya mboga (vitunguu,nyanya,mipapai,kabichi,pilipili).Ukinunua mche unapewa risti hapohapo bustanini. Good management.Is n't it!

No comments: