Saturday, March 24, 2012

Manzini nayo

Hizi ni sehemu tu ya jiji la Manzini. Maisha hapa ni moto ukizubaa unaibiwa mwanangu siyo kama Mbabane jiji la utulivu.Hata hivyo nyumba za kupanga hapa bei ni poa kuliko Mbabane. Mbabane ni mji wa wazito!


No comments: