Sunday, April 1, 2012

Bus linapovuta trailer la mizigo

Lori kufungwa trailer ni kitu cha kawaida nchini Tanzania lakini kwa bus hasa la abiria sijaona. Jana tarehe 31/3/2012 akiwa ziarani jijini Maputo nchini Msumbiji,Banzi wa Moro alishuhudia bus hili likivuta trailer lenye mizigo ya abiria.Usalama wa mizigo ya abiria!(sina jibu)

No comments: