Tuesday, April 3, 2012

Madafu- Maputo kama Dar!

Madafu bwelele jijini Maputo, Msumbiji. Vijana hao (nje ya uzio) walipotuona walitukimbilia na mkokoteni wao wakitaka kutuuzia madafu lakini kwa kuwa lugha gongana tulishindwa kunywa maji ya dafu ( Wao Wareno sisi Waingereza!).Kwa hiyo hata bei ya dafu jijini Maputo siijui!

No comments: