Friday, April 20, 2012

Vituko vya Iddi Amin Dadah


Inasemekana kuwa aliyekuwa Rais wa Uganda Gen. Iddi Amin Dadah alikwenda kununua ndege ya rais akiwa na fedha taslimu mkobani! Kwa utaratibu huo Iddi Amin amekuwa mtu wakwanza kununua ndege kwa mtindo huo!

No comments: