Tuesday, April 24, 2012

Uanikaji nguo maghorofani

Ni tabia iliyozoeleka na baadhi yetu kuanika nguo ovyo ovyo. Juma la jana Banzi wa Moro alifanikiwa kunasa jengo hili likiwa na nguo zilizoanikwa barazani. Hili ni jengo la ghorofa, ni kubwa na zuri lililoko kati kati ya jiji la Dar Es Salaam. Hivi kweli hii ni tabia nzuri ya kuanika kila kitu nje? Huu nao ni uchafu.

No comments: