Wednesday, April 18, 2012

Huu si ustaarabu


Madereva wengi wanapoona kuwa kuna traffic jam basi hupita tutani. Camera ya Banzi wa Moro iliinyaka gari unaloliona pichani kwenye barabara ya Kilwa leo asubuhi. Je, hili ni suluhisho la kukwepa traffic jam? Huu ni ustaarabu?

No comments: