Tuesday, April 3, 2012

Jinsia inazingatiwa chuoni Mananga

Wimbi la kujiendeleza kitaalamu haliangalii jinsi ya mtu. Hapa chuoni Mananga idadi ya wanachuo ukizingatia jinsi ni asilimia 50 wanawake na asilimia 50 wanaume. Wanawake wana nafasi sawa na wanaume na kwa hakika wanawake wanapewa kipaumbele zaidi. Hata waajiri wameshaliona hilo ndiyo maana hali ni kama nilivyoieleza.

No comments: