Tuesday, April 24, 2012

Uvunaji wa maji ya mvua

Shule ya Msingi Kisemvule iliyoko wilaya ya Mkuranga mkoani Pwani imebahatika kuwa na mradi wa uvunaji maji. Maji haya hutumika kwa shughuli mbalimbali yanafaa pia kwa kunywa ila inashauriwa kuwa ni vizuri kuyachemsha kabla ya kunywa.

No comments: