Friday, April 20, 2012

Tunawachia nini watoto hawa?


Hili ni swali la kujiuliza wote hasa sisi watu wazima. Je, tunawaachia nini watoto hawa? Elimu bora? Uchumi imara? Uongozi safi? Huduma bora na za uhakika (Afya,maji, umeme..) miundo mbinu (barabara).

No comments: