Monday, May 28, 2012

Kilimo cha umwagiliaji cha mpunga huko Igurusi Mbeya. Umwagiliaji ni sharti uzingatie kanuni za kilimo bora kama vile kupanda kwa nafasi, kutumia mbegu bora, kuweka mbolea inayostahili, kupambana na wadudu waharibifu pamoja na magonjwa. Ukifuata haya unaweza kuvuna zaidi ya gunia 40 kwa eka moja.

No comments: