Tuesday, May 29, 2012

Radio pembeni

Inawezekana vijana hawapendi tena kusikiliza radio. Lakini wazee wengi hupenda kusikiliza radio kama inavyoonekana pichani Mama Hasbon Makishe akiwa karibu sana na radio wakati alipowatembelea wajukuu zake nyumbani kwao Kisemvule mkoa wa Pwani.

No comments: