Wednesday, May 30, 2012

Mbwa wetu 'Kijenge'

Mbwa wetu aitwaye 'Kijenge' tunampenda sana. Hubaka kwa nguvu kuashiria tukio hasa nyakati za usiku, anatulinda. Kijenge hula ugali na dagaa la kuchemsha, huogeshwa mara moja kwa wiki kujikinga na kupe. Hunywesha dawa za minyoo angalau mara moja kila baada ya miezi mitatu. Hivi ndivyo tunavyomtunza 'Kijenge.'Lakini kuna kundi la watu wanaiba mbwa kijini kwetu Kisemvule. Wengine wanasema wanawauzia Wachina kwa bei ya shilingi 40,000 kwa mbwa mmoja. Sina uhakika na hilo.

No comments: