Wednesday, May 30, 2012

Skimu ya umwagiliaji kijiji cha Magozi-Iringa Vijijini

Miaka 21 iliyopita kijiji cha Magozi, wilaya ya Iringa vijijini kila mwaka kilikuwa kikipata msaada wa chakula kutoka na hali ya ukame wa maeneo hayo. Kupitia 'Disitrict Agricultural Develpment Plan (DADP) kijiji kimejenga mfereji wa umwagiliaji kuanzia mwaka 2007 na sasa wanazalisha mpunga kwa wingi. Kwa wastani mkulima sasa anaweza kuvuna magunia 20 ya mpunga kwa eka moja.

No comments: