Wednesday, May 30, 2012

Shule ya Sekondari ya Kata - Magozi, Iringa vijijini

Kuongezeka kwa kipato cha wanakijiji wa Magozi kumewezesha kuchangia shule ya Sekondari ya Kata ya Magozi. Shule hii ina kisima cha maji, umeme wa solar, na mabweni ya kulala wanafunzi.

No comments: