Tuesday, May 29, 2012

'Vikuku vinanukia ahaa."

Enzi zangu niliipenda sana nyimbo tuliyoibatiza 'vikuku vinanukia ....' Lakini hii ni picha hali ya msosi tulioukamata siku ya send off ya dada yetu Adela Ng'atigwa (kuku wa kienyeji kutoka Nyandila-mgeta, bamia, njegere, kisamvu, derega, vhimoka, magimbi, samaki, mbumundu, bwasali, ng'udende, uhunga, ng'andulo....). Kilikuwa kitamu sana!

No comments: