Wednesday, May 30, 2012

SHEREHE YA KUMPONGEZA DOLORES

MC alikuwa ni Maria 'Bonge' kutoka DADAZ
Dolorose Kamsopi a.k.a EKA akilishwa keki na shangazi yake Hellena Mdimi
Ni zamu ya Baba Joseph Kamsopi Mdimi kulishwa keki na bintiye
Mama akilishwa keki na mwanawe
Babu (Mzee C.M.Mdimi)alilishwa keki
Tulisakata miondoko ya 'gospel songs'
Mjomba Msechu alifungua champaigne
Keki ilikatwa

No comments: