Tuesday, December 5, 2006

KILIMO NI SAYANSI !

Kazi ya utafiti inafanyika katika vituo vya utafiti na kwenye mashamba ya wakulima. Pichani jopo la wataalamu wa kilimo kutoka Makao Makuu ya Utafiti Dar Es Salaam na kutoka Kanda ya Nyanda za Juu Kusini wakipelemba na kutathmini utafiti zao la mahindi katika kituo cha Utafiti wa Kilimo, Kifyulilo, Mufindi, Iringa (Picha kwa hisani ya ARI-Uyole, Mbeya -Juni, 2006)

No comments: