Tuesday, December 12, 2006

MTOTO AMEZALIWA - nolema.blogspot.com

Mtoto amezaliwa leo tarehe 12/12/2006. Mtoto huyu anaitwa "BABA WA SHIRIKISHI"
Mzazi wa mtoto huyu ni Orgenness Lema. Karibu sana mtoto kwenye ulimwengu wa Blog. Kuna kaka yako "Banzi wa Moro" aliyekutangulia mwezi mmoja uliopita. Kuna kaka zako wakubwa kama vile, Ndesanjo Macha, Michuzi, Mjengwa, Jeff, Mongi na wengine wengi waone watakutunza.

Karibu sana

No comments: