Thursday, May 14, 2009

Mkwawa wa Yanga


Hufurahi Yanga inaposhinda kama anavyoonekana kwenye picha.
Huchukia Yanga inapofanya vibaya.
Ana maneno mengi ya unazi na wakati mwingine ya mauzi
Angalia hata picha hii ameipiga kwenye maua ya njano na kijani (Rangi ya Yanga)

No comments: