Thursday, May 14, 2009

Nani kasema bora vita

Mabomu yaliyolipuka na yanayoendelea kulipuka maeneo ya Mbagala jijini Dar es Salaam ni kiashiria tosha kuwa vita si lele mama. Ukiwa umeshiba unafanya shughuli zako tatizo dogo tu unasema heri tupigane tu! Ah bwana wee umeshaiona vita wewe. Athari za vita ni nyingi sana. Mabomu ya Mbagala iwe fundisho.

No comments: