Thursday, May 14, 2009

Lukuvi tawire tunataka kuiona Bandarisalama iliyo safi

Tunataka viongozi wanaokuja na vision yao. Lukuvi ameliona jiji la Dar Es Salaam ni chafu kwa hiyo amewataka viongozi na wakazi wa jiji la Dar Es Salaam kuliweka jiji hilo katika hali ya usafi ili lipendeze liwe jiji kweli. Banzi wa Moro anaona kuwa kikubwa ni kusimamia utekelezaji wake. Watu wanatupa takataka ovyo na kuchafua jiji tunawaona na tunawaacha, watu wakojoa ovyo mitaani tunaowaon na kuwaacha hivi hivi. Tutakukumbuka Lukuvi tutakukumbuka kama utaliweka jiji la Dar katika hali ya usafi nafikiri itakuwa ni output yako moja nzuri.

No comments: