Thursday, May 14, 2009

Mungukiki wanasumbua Kenya

Kenya si salama. Wananchi wanasumbuliwa na kikundi cha mauaji cha Mungukiki. Kinavamia na kuua wakati mwingine kijiji kuteketezwa kwa moto. Hawa ndiyo Mungukiki. Tuombe Mungu kusiwe na kikundi kama hiki hapa Tanzania. Ni balaa.

No comments: