Tuesday, August 26, 2014

Hakika mazingira yanavutia


Kila nipitapo barabara hii ya Tandika kuelekea Mbagala huwa navutiwa na mazingira ya nyumba hii. Bustani ndogo ya maua inayotunzwa vizuri. Huhitaji maji mengi kumwagilia eneo hili la bustani. Ni kujipanga tu. Hivi wengine hawaoni kuwa panapendeza? Au mpaka hapo aishi mzungu ndipo muone kuna kitu cha kuigwa? Tubadilike.

No comments: