Tuesday, August 26, 2014

Vijana kwenye maonesho ya Nanenane 2014 mkoani Lindi

Wakulima wa kesho wakipata taarifa za teknolojia za kilimo kwenye mabanda ya kilimo mkoani Lindi ambako Sikukuu ya Nanenane  2014 kwa mara ya kwanza ilifanyika kitaifa mkoani Lindi.

No comments: