Thursday, August 28, 2014

Zamoyoni Mogella -Tunda la Moro

Asubuhi ya leo nakutana na Zamoyoni Mogella 'Golden Boy' katika pilika za kutafuta riziki. Mogella yuleyule, mchangamfu na mwenye nidhamu. Tunasalimiana na kuongea naye kwa dakika chache na bila kuchelewa namuelekeza anakotaka kwenda. Nidhamu yake, uchangamfu wake,utafutaji na malengo yake unamfanya Mogella kuwa 'Golden Boy'  hadi sasa'
Zamoyoni Mogella'Golden Boy' enzi zake akichanja mbuga

Zamoyoni Mogella akiwaasa wachezaji wa Simba hivi karibuni

Zamoyoni Mogella katika misele jijini Dar

Zamoyoni Mogella akiwa na timu ya Taifa

Zamoyoni Mogella akiwa na mashabiki wa Simba akiangalia moja ya mechi ya timu hiyo uwanja wa taifa

Zamoyoni Mogella 'Golden Boy" alivyo sasa

Zamoyoni Mogella na Nico Njohole wote kutoka Moro

Mogella akimtoka Yusufu Bana wa Dar Young Africans

Zamoyoni Mogella na kocha mchezaji  Hassan Haffif  wakiwa Simba Sports Club

Zamoyoni Mogella akiwa na Ben Kinyaiadd caption

No comments: