Tuesday, August 26, 2014

Viazi vya asili vilivyo na sumu

Maonyesho ya klilimo ya Nanenane  2014 nchini Tanzania yaliyofanyika kitaifa mkoani Lindi yalikuwa na manufaa makubwa kwa wananchi. Kwa mfano kwenye mabanda ya kilimo vilioneshwa viazi vya asili visivyo na sumu. Ni mara ngapi tumesikia kuwa baadhi ya watu wamefariki kutokana na kula mazao aina ya mizizi ambayo ni sumu. Hiyo haikuwa makusudi yao. Tatizo hawakuhabarishwa tofauti ya viazi vyenye sumu na visivyo na sumu.

No comments: