Tuesday, August 26, 2014

Kikao cha Halmashauri ya Walei Parokia ya Vikindu


Tarehe 23/08/2014  Halmashauri ya Walei Parokia ya Vikindu ililikutana kuweza kupanga na kutathmini shughuli za Parokia. Katika kikao hicho ambacho kilihudhuriwa pia na Paroko wa Parokia hiyo Fr. Stephen walitaarifiwa kuwa Sikukuu wa Somo wa Parokia itafanyika tarehe 29/09/2014 siku ya Jumapili. Kipaimara ni tarehe 1/11/2014 siku ya Jumamosi

No comments: