Tuesday, December 20, 2011

Apumzike kwa Amani Bibi Anastazia Hugo (Bibi Chuma)

Alfajiri ya tarehe 19/12/2011. Bibi yetu mpendwa- Anastazia Hugo (Bibi Chuma) alifariki dunia akiwa na umri wa miaka 92. Maandalizi ya mazishi yanafanyika nyumbani kwa Bw. na Bibi Mangengesa Mdimi wa Makuburi-Dar Es Salaam. Mwili wa marehemu unatarajiwa kusafirishwa kwenda kijijini Kiswira-Matombo, Morogoro, asubuhi Jumatano tarehe 21/12/2011 na mazishi yatafanyika tarehe 22/12/2011 siku ya Alhamisi. Banzi wa Moro atakuwa kwenye msafara huo. Amina.

No comments: